WAZIRI GWAJIMA, AONGOZA MAZISHI KIJANA ALIYECHOMWA KISU DODOMA.

Na WMJJWM- DODOMA Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, ameongoza shughuli ya mazishi ya Kijana Egidi Gangata, aliyechomwa kisu na kijana mwenzie wa mtaani wakati kijana huyo akijaribu kupigania haki za vijana wadogo waishio mitaani jijini Dodoma, Akiwa katika shughuli hiyo ya mazishi, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito